Thursday

Breaking News: Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi mwingine Tunduru

0 comments


 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 November 2017 ametengua uteuzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru Bwa. Abdallah Hussein Mussa kwa kushindwa kumudu majukumu yake.