Mgombea Dkt. Godwin Mollel (CCM) ameibuka mshindi wa kiti cha ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro uliofan...
Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts
Saturday
WATU MAARUFU WALIOGUSWA NA TUKIO LA MWANAFUNZI ALIYEPIGWA RISASI
Taarifa za kifo cha mwanafunzi Aquillina Akwilini aliyepigwa risasi kifuani na Polisi na kupoteza maisha jana February 16, 2018 akiwa k...
Sanduku la Kupigia Kura Laibiwa Kinondoni
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni (CHADEMA) Salum Mwalimu amedai sanduku la kupigia kura katika mtaa wa Idrisa Magomeni Jijini D...
Friday
MABASI 70 YA MWENDOKASI YAMWAGWA DAR
Moja ya mabasi ya mwendokasi likishushwa kutoka kwenye meli. Shughuli ya kuyashusha mabasi hayo ikiendelea. Muonekano ha...
Thursday
Huyu ndiye Rais mpya wa Afrika kusini
BUNGE la Afrika Kusini limemchagua Mwenyekiti wa chama tawala cha ANC Cyril Ramaphosa, kuwa Rais wa mpito wa nchi hiyo, mpaka pale uch...
Tuesday
KARANI WA BODI YA MITIHANI ADAI NYOKA AMEKULA MILIONI 227 ALIZOKUSANYA
Karani mmoja wa Bodi ya Mitihani nchini Nigeria, Philomena Chieshe amefukuzwa kazi baada ya kuwaambia wakaguzi wa hesabu kuwa nyoka al...
Sunday
Binti wa Kifaransa aliyekulia msituni na Wanyama
Sio filamu wala maigizo, hii ni kweli tupu, fahamu historia ya binti wa Kifaransa aliyekulia msituni na wanyama na kucheza n...
Vijiji 100 kupata maji ya Ziwa Victoria
WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inatekeleza mradi wa maji wa vijiji 100 vilivyopo kandokando ya bomba kuu kutoka Ziwa Victoria...
Saturday
WATOTO 6 WAJITOKEZA KUGOMBEA UGAVANA , MAREKAN
Jimbo la Kansan nchini Marekani hivi karibuni limepitisha sheria ya kutoangalia kigezo cha umri kwa atakayejitokeza kugombea nafasi ya ...
Thursday
Tigo wapunguza gharama
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo imepunguza gharama za kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kitaifa na kimatai...
Odinga ataka uchaguzi mwingine tena
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya kupitia NASA, Raila Amollo Odinga, ametaka kufanyika kwa uchaguzi mkuu mpya tena mwezi Ago...
Moto wateketeza bweni la wanafunzi
Mwanza. Jengo la bweni la wanafunzi wa kiume katika shule ya Sekondari Katunguru wilayani Sengerema mkoani Mwanza limeteketea k...
Saturday
Mose Iyobo awachezeshea kichapo Shilawadu
Watangazaji wa Kipindi maarufu cha Shilawadu kinachorushwa na Clouds tv,Soudy Brown na Kwisa wamechezea kichapo kutoka kwa ...
Friday
Breaking News: Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amefariki dunia
Habari tulizozipokea hivi punde zinasema kuwa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amefariki dunia leo...
Wednesday
UNHCR Yadai wakimbizi 1,200 wakimbilia Tz kutoka Congo
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi la UNHCR, limedai kuwa jumla ya wakimbizi 1200,raia wa jamhuri ya D...
Umri wa Kustaafu Kwa Madaktari Bingwa, Wahadhiri Waandamizi na Maprofesa Sasa miaka 65.
Frank Mvungi- Maelezo, Dodoma. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha muswaada wa Sheria ya Marekebisho y...
Tuesday
Serikali imezima matangazo ya Television Kenya
Wakati wafuasi wa Muungano wa upinzani nchini Kenya (NASA) wanaendelea na shughuli ya kuapishwa kwa Raila Odinga kuwa ‘Rais’...
BREAKING: Raila Odinga Ajiapisha Kuwa ‘Rais wa Wananchi wa Kenya’
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga (NASA) ameapishwa kuwa ‘Rais wa Wananchi’ wa Kenya licha ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio n...
Monday
WAZIRI JAFO, MADARASA YA TEMBE, UDONGO, NYASI, YASITUMIKE KATIKA SHULE YEYOTE NCHINI
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza Wakuu ...
Saturday
Umeme kukosekana Mbagala, Kurasini, Bandari
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema njia ya kusafirisha nishati hiyo ya Ilala -Kurasini itazimwa kwa muda kupisha m...
Subscribe to:
Posts (Atom)