Na George Mganga
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Haji ameandika kuwa anatamani kumuona mchezaji huyu akisakata gozi nje ya Tanzania, huku akimpigia debe pengine ajiunge na wekundu hao wa Msimbazi, Simba SC.
Kipwagile ameonekana kuimarika zaidi katika kikosi cha Azam FC msimu huu kutokana na kasi ya mchango wake ndani ya timu hiyo.
Kutokana na ujumbe alioandika Haji Manara, inawezekana uongozi wa Simba ukawa kwenye mipango ya kunyatia mchezaji huyo ambaye yuko kwenye kiwango kizuri hivi sasa.Mar