Friday

TANZIA: Aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbalimbali nchini, Abass Kandoro afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

0 comments


TANZIA: Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro afariki dunia usiku huu

Kandoro amefariki katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa matibabu