PICHA NA MTANDAO



 





Wanawake hupenda maneno matamu hata ikiwa sio kweli na huyachukulia kuwa mapenzi ya kweli Baadhi ya wanaume wmesomea usanii wa kuwapagawisha mabinti kwa maneno matamu huku wakifahamu wazi, ahadi zao ni wongo mkubwa Wao hutumia mashairi na mistari ya kumtoa nyoka pangoni na mara wakishafaulu, humtosa binti ya mtu wakati binti huyo akitaka mahusiano ya kweli Ni wazi wanawake hupenda maneno matamu hata ikiwa sio kweli na huyachukulia kuwa mapenzi ya kweli.

 Baadhi ya ‘midume’ kwa sababu hii, wamesomea usanii wa kuwapagawisha mabinti kwa maneno matamu huku wakifahamu wazi, ahadi zao ni wongo mkubwa. 

 Wakati mwingine mabinti huwa wagumu sama kunasa lakini nao wanaume hutumia maneno matamu na ulimu uliopakwa asali kuwanasa,. 

Wanaume wa aina hii, hutumia mashairi na mistari ya kumtoa nyoka pangoni na mara wakishafaulu, humtosa binti ya mtu wakati binti huyo akitaka mahusiano ya kweli. TUKO imekusanya badhi ya mistari na ndimi zilizotiwa asali ambazo ‘midume’ huwapagawishia kina dada. 


30. Utanizalia lini, nataka mtoto kama wewe eish (Utanizalia lini, I want another version of you eish) : "Ukambani Nilitaga Mayai"

 29. Wewe ni bora kuliko wote na sitawahi kukuangusha (You are the best I have ever had and I will never disappoint you) 

28. Nataka tuzeeke tukiwa pamoja (I want us to grow old together)

 27. Mama anasema anataka kuitwa nyanya (My mum "your mother in law" said she wants to be called a grandma')

 26. Sitawahi kukuacha (I will never leave you)

 25. Ntakufa ukiniacha. 

24. Sikuli, silali, nakufikiria kila wakati

 23. Kila ninachotaka maishani mwangu ni wewew (All I want in my life is you) 

 22. Wewe ni kila kitu ninachohitaji kuwa na furaha (You are all I need to be happy)

 21. Wewe ndio size yangu \

20. Sijui ningekuwa wapi bila wewe (I don't know where I would have been without you) 

19. Wewe ni mmoja katika milioni (You are one in a million)  

18. Sitawahi kukufanya ulie (I will never make you cry) 

17. Nitakuwa mwaminifu kwako kila mara (I will always be faithful to you)

 16. Ninakupenda na sitawahi kuona wasichana wengine (I love you and will never have eyes for other girls) 

 15. Niko sure mama yako ni mrembo sana 

14. Bae nimekumiss kama missed call ya please call me 

13. I can't eat my supper kama sijaskia sauti yako 

12. Ukiniacha sitawahi date tena 

11. Jana ulikuwa kwenye ndoto zangu (Last night you were in my dreams) 

 10. Moyo wangu hupiga kwa ajili yako tu (My heart beats for you and only you)

 9. Wewe ndiye mwanamke mrembo zaidi duniani (You are the most beautiful woman in the world)  

 8. Uliumia ulipoanguka? Hakika unaonekana ulianguka kutoka mbinguni (Did it hurt when you fell? Because girl you look like you fell from heaven) 

7. ‘Mpododo’ wako unanitaka (Your behind is calling out for me)

 6. Kinachokosekana katandani mwako ni mimi tu (The only thing missing in your bed is me) 

5. Si unisongee tulale pamoja 

4. Nina hakika baba yako ana bunduki kwa sababu yako! (I am sure your dad owns a gun because you are very fine ma!) 

3. Sijaconcentrate darasani leo juu nilikua nakufikiria

 2. Wewe mahari yako itakua farasi, ata si ng'ombe 

1. Aki si chali yako ako na bahati! 

CREDIT : TUKO KENYA