Saturday

LISTI YA WACHEZAJI SIMBA WALITOROKA KAMBINI USIKU NA KUKESHA KLABU YATAJWA, HII HAPA

0 comments

Imeelezwa kuwa wachezaji kadhaa wa klabu ya Simba walikesha klabu siku moja kabla ya mchezo na Bandari FC ambao ulimalizika kwa wageni kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

Kupitia Radio EFM, Mwanachama wa Simba, Suleiman Yusuph, amewataja wachezaji watano ambao ni hawa wafuatao

Haruna Niyonzima
Hassan Dilunga
Sergi Wawa
Mohammed Ibrahim na 
Jonas Mkude

CHANZO: EFM

No comments:

Post a Comment