Kwa mujibu Wa massamba na wenzake
2012, Sentensi nikipashio kikubwa kabisa cha kimuundo chenye maana.
Aina za sentensi
1. Sentensi sahili
Sentensi sahilk ni muundo Wa tungo unao husisha kirai nomino na kirai kitenzi na wenye maana kamili iliyo kusudiwa. Kiini cha sentensi hizi ni kirai kitenzi
Mifano
1. Anatembea
2.juma na jastini wanaandika barua
3. Usije kwetu tena.
Miundo ya sentensi sahili.
1. Muundo Wa kirai kitenzi
Mfano wanapendana
2.muundo Wa kirai nomino
Kaka amefika
3.muundo ya kirai kitenzi kilicho kitwa katika kitenzi kuwa
a) Abasi ni kijana mzuri
b)Habiba ni wakwanza
4.muundo ambao virai nomino na kirai kitenzi vimeandamana na vijalizo
Mfano
a) Baba yangu alininunulia machungwa mawili usiku.
UCHANGANUZI WA SENTENSI SAHILI
sentensi(S)------> Kirai nomino(KN) kirai kitenzi(KT)
S
| |
KN. KT
Mfano a) Juma analima
S
| |
KN. KT
juma analima
Zingatia muundo ya KN na KT
upande Wa KT huweza kubeba pia KN
UCHANGANUZI WA NJIA YA MSHALE
mfano
Watoto wale walilia bila sababu
S•••••••••••••>KN KT
KT••••••••••••>T E
KN•••••••••••••>N V
N••••••••••••••> Watoto
V•••••••••••••••>Wale
T••••••••••••••••wanalilia
E••••••••••••••>bila sababu
SENTENSI AMBATANI
Sentensi ambatani ni sentensi yenye vishazi viwili au zaidi vilivyo unganishwa kwa kutumia viunganishi.
Mfano
a) Mwalimu anafundisha na wanafunzi wanasikiliza
b) Usiteme wala usimeze
Muundo ya sentensi ambatani
a) muundo wenye vishazi sahili tu
b) muundo yenye vishazi sahili na vishazi ambatani
c)muundo yenye vishazi changamani tuu
d) muundo yenye vishazi visivyo na viunganishi.
UCHANGANUZI WA SENTENSI AMBATANI
S
| | |
S1. U S1
| \ | \
KN. KT. KN. KT
DHANA YA SENTENSI CHANGAMANI
Sifa moja kubwa ya sentensi CHANGAMANI ni kuwa na kishazi kitegemezi ambacho hutegemea kishazi kingine huru ndani ya sentensi hiyo
Vishazi katika sentensi CHANGAMANI sii lazima vidhibitiwe na kiima kimoja, badala take kishazi kinaweza kuwa na kiimachake
a) Alipo rudi nyumbani alikuta tumelala
b) Akiondoka Leo hataonana na Dada take
c) tulirudi nyumbani usiku, tukaoga, tukapika, tukala, tukalala,
Muundo ya sentensi CHANGAMANI
Miiundo ya vishazi virejeshi
Muundo hii ilielezwa kuwa no ile ambamo kipashio kikubwa kama kishazi hubebwa na kipashio kidogo kama kirai.
Mfano
a) Mtoto ALIYE TUMWA KWENDA KUMLETEA MGOJWA DAWA amerudi
b) vitabu VILIVYO TAKIWA KUGAWIWA KATIKA SHULE MBALIMBALI vimepotea
Katika sentensi hizi uchangamani umeingizwa na vishazi virejeshi vilivyo andikwa kwa herufi kubwa.
2.muundo ya vishazi vielezi
Mifano
a)
ALIPOKUWA MTOTO ,alimpenda sana baba take
b) WANGETAKA TUELEWANE wange tuita
Katika mifano hapo juu iloyo andikwa kwa herufi kubwa vishazi vielezi .
UCHANGANUZI WA SENTENSI CHANGAMANI
S
KN. KT
N. S. T. KE
Mbuzi [Aliyenunuliwa ] amechinjwa
[ Juzi.
KE = Leo asubuhi.
Mwandishi E.G. masshele(2019)makalamkondoni.Massheleblog.www.masshele.blogspot.com
2012, Sentensi nikipashio kikubwa kabisa cha kimuundo chenye maana.
Aina za sentensi
1. Sentensi sahili
Sentensi sahilk ni muundo Wa tungo unao husisha kirai nomino na kirai kitenzi na wenye maana kamili iliyo kusudiwa. Kiini cha sentensi hizi ni kirai kitenzi
Mifano
1. Anatembea
2.juma na jastini wanaandika barua
3. Usije kwetu tena.
Miundo ya sentensi sahili.
1. Muundo Wa kirai kitenzi
Mfano wanapendana
2.muundo Wa kirai nomino
Kaka amefika
3.muundo ya kirai kitenzi kilicho kitwa katika kitenzi kuwa
a) Abasi ni kijana mzuri
b)Habiba ni wakwanza
4.muundo ambao virai nomino na kirai kitenzi vimeandamana na vijalizo
Mfano
a) Baba yangu alininunulia machungwa mawili usiku.
UCHANGANUZI WA SENTENSI SAHILI
sentensi(S)------> Kirai nomino(KN) kirai kitenzi(KT)
S
| |
KN. KT
Mfano a) Juma analima
S
| |
KN. KT
juma analima
Zingatia muundo ya KN na KT
upande Wa KT huweza kubeba pia KN
UCHANGANUZI WA NJIA YA MSHALE
mfano
Watoto wale walilia bila sababu
S•••••••••••••>KN KT
KT••••••••••••>T E
KN•••••••••••••>N V
N••••••••••••••> Watoto
V•••••••••••••••>Wale
T••••••••••••••••wanalilia
E••••••••••••••>bila sababu
SENTENSI AMBATANI
Sentensi ambatani ni sentensi yenye vishazi viwili au zaidi vilivyo unganishwa kwa kutumia viunganishi.
Mfano
a) Mwalimu anafundisha na wanafunzi wanasikiliza
b) Usiteme wala usimeze
Muundo ya sentensi ambatani
a) muundo wenye vishazi sahili tu
b) muundo yenye vishazi sahili na vishazi ambatani
c)muundo yenye vishazi changamani tuu
d) muundo yenye vishazi visivyo na viunganishi.
UCHANGANUZI WA SENTENSI AMBATANI
S
| | |
S1. U S1
| \ | \
KN. KT. KN. KT
DHANA YA SENTENSI CHANGAMANI
Sifa moja kubwa ya sentensi CHANGAMANI ni kuwa na kishazi kitegemezi ambacho hutegemea kishazi kingine huru ndani ya sentensi hiyo
Vishazi katika sentensi CHANGAMANI sii lazima vidhibitiwe na kiima kimoja, badala take kishazi kinaweza kuwa na kiimachake
a) Alipo rudi nyumbani alikuta tumelala
b) Akiondoka Leo hataonana na Dada take
c) tulirudi nyumbani usiku, tukaoga, tukapika, tukala, tukalala,
Muundo ya sentensi CHANGAMANI
Miiundo ya vishazi virejeshi
Muundo hii ilielezwa kuwa no ile ambamo kipashio kikubwa kama kishazi hubebwa na kipashio kidogo kama kirai.
Mfano
a) Mtoto ALIYE TUMWA KWENDA KUMLETEA MGOJWA DAWA amerudi
b) vitabu VILIVYO TAKIWA KUGAWIWA KATIKA SHULE MBALIMBALI vimepotea
Katika sentensi hizi uchangamani umeingizwa na vishazi virejeshi vilivyo andikwa kwa herufi kubwa.
2.muundo ya vishazi vielezi
Mifano
a)
ALIPOKUWA MTOTO ,alimpenda sana baba take
b) WANGETAKA TUELEWANE wange tuita
Katika mifano hapo juu iloyo andikwa kwa herufi kubwa vishazi vielezi .
UCHANGANUZI WA SENTENSI CHANGAMANI
S
KN. KT
N. S. T. KE
Mbuzi [Aliyenunuliwa ] amechinjwa
[ Juzi.
KE = Leo asubuhi.
Mwandishi E.G. masshele(2019)makalamkondoni.Massheleblog.www.masshele.blogspot.com